Saturday, July 17, 2010

On a good note:

Under Maximo Tanzania managed to improve its position in the Fifa World soccer rankings from 172th in 2005 to 108th in April 2010.

- mwananchi






FIFA imetoa ranking za timu. Nakubali Hispania kuwa juu, ikifuatiwa na timu kadhaa kama inavyoonyeshwa hapa.


Timu za Afrika Misri na Ghana zinatuwakilisha kwenye chati juu juu. Cha ajabu ati timu kama Australia iko juu zaidi ya Ghana ambayo ilikwenda mbali zaidi kwenye kombe la dunia, ilishiriki vizuri tu kwenye mashindano ya kombe la Africa nk.

kama kawaida nilipokuwa naitafuta Tanzania nilibofya moja kwa moja ukurasa wa mwisho na kuanza kurudi mwanzo. Sikutarajia kuikuta nchi yetu kwenye kurasa mbili za mwanzo.

0 comments: