Tuesday, November 06, 2007

Mtazamo mbadala: Shivji ahoji tuzo ya Mo Ibrahim

Kwenye kurasa za Pambazuka kuna mawazo mbadala ya Profesa Shivji kuhusu tuzo ya utawala bora aliyopewa Chissano. Na kabla ya Shivji kupandisha makala yake, mwanazuoni Horace Campbell alikwishapandisha nyingine siku chache kabla.

pamoja na mengi mengine Shivji anaanza:

"Mo Ibrahim’s prize for a retired African president which was awarded to Joachim Chissano of Mozambique was in my view an insult to the African people." Issa Shivji raises a number of questions around the award such as how and what is "good governance" and why is it only applied to Africa? And most importantly "for which and whose democracy they are getting a prize".



Horace Campbell kaandika kirefu zaidi:

According to the media, "Mo Ibrahim, a Sudanese-born telecommunications entrepreneur, established the prize as a way of encouraging good governance in a continent blighted by corruption and a frequently loose adherence to democratic principles." Not a word is mentioned about the living conditions of the people of the Sudan from where Mr. Ibrahim hails…..

But, isn’t this prize also a sign of the political retrogression in Africa? The idea of a President voluntarily stepping down is now so novel in the face of leaders such as Museveni and Mugabe that Chissano indeed stands out. Compared to Robert Mugabe and Thabo Mbeki, and their megalomanic policies, Chissano does look good.

While announcing Chissano as the winner, Kofi Annan may have gone overboard by saying, "leadership should be the ability to formulate a vision and to convince others of that vision. It should be the skill of giving courage to accept difficult changes to make possible a longer term aspiration for a better and fairer future."

1 comment:

Anonymous said...

Yakhe,

Natumaini unamkumbuka Brother Look. Yule rafiki yako Mmarekani mwenye asili ya Kiafrika. Alikuwa na kile kitabu chake kinachofafanua magonjwa mbali mbali ya akili. Nina hakika mojawapo ya magonjwa ya akili yaliyomo kwenye kitabu chake gonjwa ni hili la gonjwa la kumbembelezwa. Gonjwa la kubebembelezana kung'atuka madaraka ya Urais lazima litakuwemo kwenye orodha ya magonjwa wazimu yalioorodheshwa kwenye kile kitabu. Iweje leo viongozi wa Afrika pekee yao kwa motisha ya hela/pesa wahamasishwe kung'atuka?

Yawezekana Mo Ibrahim katafakuru ile tabia ya "..Ukiacha ukaidi nitakupa pipi.."

Mwamba, al'hamsiki imejongea siku mpya nami ningali dawatini badala ya kujigalagaza godoroni.

Masalaamia,

F M Tungaraza.