Friday, May 09, 2008

WAGONJWA JEURI

Tuko tayari kutumia jeshi letu la majini kukusanya waliopoteza maisha, waliopotea, na kuweka hali sawa. Lakini ili kuweza kufanya hivyo, utawala wa kijeshi lazima uturuhusu kuingia nchini humo.
2008

Tunaghafirishwa na serikali ya Myanmar kwa inavyojivutavuta kupokea na kukubali usaidizi wetu. Ni wazi uwezo wa serikali hiyo siyo mkubwa kuweza kukabili hali iliyopo, ambayo ni janga"
2005

"Madaktari wetu wanao uzoefu wa kimataifa na wanaijua lugha ya kiingereza ambayo itawawezesha kuwasiliana na waathirika. Tupo tayari, tunasubiri tu majibu ya serikali ya Marekani."

Friday, May 02, 2008

MANDELA BADO NI GAIDI MAREKANI

"Afrika ya kusini ni nchi ambayo tuna mahusiano mazuri nayo kwa sasa, ni jambo lanalotia aibu kwamba inanibidi kuondoa kikwazo cha pingamizi la kibali cha kuingia nchini (cha viza) kwa mwenzangu, waziri wa mambo ya nje wa Afrika ya kusini, na hata kwa kiongozi mashuhuri Nelson mandela,"

- Condoleeza Rice, akitetea muswada wa kuwaondoa viongozi wa chama tawala cha Afrika ya kusini, ANC, katika orodha ya vikundi vya kigaidi.

Mpaka sasa wanachama wa ANC huwa wanahojiwa kwa undani wanapotaka kuingia Marekani. Mwaka 2002, mwenyekiti wa ANC Tokyo Sexwale alinyimwa visa. Mwaka jana aliyekuwa balozi wa Afrika ya Kusini umoja wa Mataifa tangu 2002 mpaka 2006, pia alikataliwa visa ya kwenda kumuuguza nduguye mpaka baada ya huyo ndugu alipofariki dunia.

Sunday, April 20, 2008

MAHOJIANO NA THOMAS MAPFUMO


Thomas Mapfumo, mwanamuziki aliyehamasisha vita ya ukombozi wa Zimbabwe anadai kwamba Komredi Mugabe angeshakubali kuachia ngazi na kuwapa MDC uongozi wa serikali Zimbabwe. Anasema tatizo ni kwamba maswahiba wa Mugabe hawatamruhuzu mzee akubali kushindwa kwa vile wanahofia kushitakiwa kwa kukiuka haki za raia na serikali mpya ya MDC. ..

Mapfumo yuko ziarani Australia. Niliongea wiki iliyopita kuhusu muziki wake pamoja na siasa ya Zimbabwe.

Bofya hapo chini usikilize mahojiano hayo yaliyowezekana kwa hisani ya kipindi cha Afroworld ndani ya Radio Adelaide.











MYKAL ROSE


Mahojiano na Mykal Rose ndani ya mrindimo wa dub - kwa hisani ya Abdalla Ezza.
Zawadi yako Rasta.















Tuesday, November 06, 2007

RISING VOICES

Kama unapenda kusaidia wengine wajue jinsi ya kublogu ili kuhabarisha umma au kuweka video kwenye mtandao Rising voices wanaendelea kutoa kutoa senti zitakazokurahisishia kufundisha wengine.

Unaweza ukapata dola 5000 zitakazokuwezesha kufundisha wengine. Unachotakiwa kufanya ni kutuma maombi kwa jamaa wa raising voices. Mstari mfu ni novemba 30, 2007.

Fanya utume. Bofya hapa kwa maelezo zaidi. Fomu za maombi zipo mwishoni mwishoni mwa ukurasa.

Mtazamo mbadala: Shivji ahoji tuzo ya Mo Ibrahim

Kwenye kurasa za Pambazuka kuna mawazo mbadala ya Profesa Shivji kuhusu tuzo ya utawala bora aliyopewa Chissano. Na kabla ya Shivji kupandisha makala yake, mwanazuoni Horace Campbell alikwishapandisha nyingine siku chache kabla.

pamoja na mengi mengine Shivji anaanza:

"Mo Ibrahim’s prize for a retired African president which was awarded to Joachim Chissano of Mozambique was in my view an insult to the African people." Issa Shivji raises a number of questions around the award such as how and what is "good governance" and why is it only applied to Africa? And most importantly "for which and whose democracy they are getting a prize".



Horace Campbell kaandika kirefu zaidi:

According to the media, "Mo Ibrahim, a Sudanese-born telecommunications entrepreneur, established the prize as a way of encouraging good governance in a continent blighted by corruption and a frequently loose adherence to democratic principles." Not a word is mentioned about the living conditions of the people of the Sudan from where Mr. Ibrahim hails…..

But, isn’t this prize also a sign of the political retrogression in Africa? The idea of a President voluntarily stepping down is now so novel in the face of leaders such as Museveni and Mugabe that Chissano indeed stands out. Compared to Robert Mugabe and Thabo Mbeki, and their megalomanic policies, Chissano does look good.

While announcing Chissano as the winner, Kofi Annan may have gone overboard by saying, "leadership should be the ability to formulate a vision and to convince others of that vision. It should be the skill of giving courage to accept difficult changes to make possible a longer term aspiration for a better and fairer future."

Sunday, September 23, 2007

TOA MAONI - PENDEKEZA BLOGU BORA AFRIKA


Wanablogu - Msisahau kutembelea katika blogu ya JUMUWATA ilikuchangia, kukosoa, kuongezea na kuupa muelelekeo mkamilifu muelekeo wa JUMUWATA.


Dondoo za katiba ziko ndani ya blogu ya JUMUWATA, hivyo maoni ya wengi yanahitajika ili isije ikawa ni watu wachache wameamua tunaenda wapi.


Mchango wa wanablogu wenye blogu na wasio na blogu unahitajika ilikuwa na kitu kikamilifu kabla ya kwenda kwenye hatua nyingine.




Mapendekezo ya blogu bora Afrika yanafikia mstari mfu tarehe 30 mwezi wa Tisa.


Katika mapendekezo kutoka kila pande za dunia Afrika haina blogu zilizopendekezwa - wakati nikiandika. Kuna ukame kwenye nchi za Afrika - hakuna hata alama moja ya blogu iliyopendekezwa.


Kama kuna blogu inayoandikwa na Mwafrika ambayo inakukuna moyo fanya uipendekeze ndani ya ukurasa huu.


Hapa chini ni maelezo ya kimombo:


Best of the Blogs: Deutsche Welle
Nominate your favorite blogs today! You're a blogger? You know a good blog? You like blogs, videoblogs and podcasts and want to share your favorites with the world?


Well, you've come to the right place. The BOBs -- short for the Best of the Blogs -- are here to keep track of the world's most interesting Weblogs, podcasts and videoblogs, and we need your help in doing it.


Suggest your favorites


You have until September 30 to head over to the suggestion form and give us the lowdown on all the blogs that glue your eyes to the screen and the podcasts that make you keep your headphones on. You can choose from the following categories:


Best Weblog, Best Videoblog, Best Podcast, the Blogwurst Award, Best Weblog /(Insert contest language here) and the Reporters Without Borders Award. In addition to the overall world's Best Weblog, another award will be given to the Best Weblog in each of the BOBs' 10 official languages making for 15 different prizes.


Who gets to play along?


The Deutsche Welle's Best of the Blogs awards are open to any blog, podcast or videoblog in Arabic, Chinese, Dutch, English, French, German, Persian, Portuguese, Russian or Spanish and meet the criteria. Read through the Road Map to find out more of the competition's details.


The people making the decisions


First and foremost, the BOBs are about the Weblogs (and 'casts) you submit, a blog you that is never entered into the contest can never win -- so get to work. When the submission window closes on Sept. 30, the BOBs jury of bloggers, podcasters, journalists and media experts will begin their work.


If your not impressed with the jury members' biographies, then keep an eye on the BOBs Blog, where they will have a chance to stun you with their insight and analysis. And please also check out the sponsors and media partners who are helping make the third annual Best of the Blogs possible.

Thursday, September 13, 2007

Madhumuni ya tangazo la biashara kwanza ni kuvutia na kushika jicho la mnunuzi. Kwa hilo jamaa wa American Apparel wameweza - kushika jicho.

Cha kushangaza, hivi hawakuweza kupata mrembo mkubwa kwa umri kidogo, halafu akasitiri kidogo kifua chake, ambaye wasingempaka masizi kumfanya awe mweusi tii. Nijuavyo Marekani kuna weusi tii kwa wingi.

Sina hakika mlengwa wa biashara hii ni nani, japo tangazo limezua gumzo.

Tuesday, August 28, 2007

MWANZO WA MWISHO WA SIASA ZA RAFU?

"Zitto amekuwa Zitto, wapinzani sasa wamepata hoja, wametuzidi katika hoja, tunapaswa kuchagua viongozi walio bora ili (wapinzani) wasituzidi katika hoja.

"Inashangaza Zitto ambaye amepewa ‘red card’ bungeni kushabikiwa na idadi kubwa ya Watanzania wakiwemo wana CCM ambao walikwenda Jangwani kumlaki na kumsikiliza wakati akitokea Dodoma, ni lazima tukisafishe chama ili wapinzani wasije kutupiku,"

- Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Kapteni Jaka Mwambi
DAIMA, 27-08-2007
Hoja bin hoja kama hivi tutafika kwenye hoja bin haki, akina Zitto wasikome kuzua hoja tutoke kwenye siasa za pilau anazosema JK hapa.