Wednesday, October 21, 2009

UHURU WA VYOMBO VYA HABARI – Tanzania

Tanzania imepanda kwa chati kwenye takwimu mpya zilizotelewa muda mchache uliopita.. Ipo kwenye alama ya 62 kati ya nchi 175 zilizoangalia kwenye chati ya Reporters Without Borders For Press Freedom.

Chati hiyo inaangalia uhuru wa wanahabari na vyombo vya habari katika nchi 175, na kiwango ambacho mamlaka za nchi zinathamini, zinahakikisha au kiwango ambacho zinakandamiza uhuru wa vyombo vya habari, pamoja na jitihada zinazofanywa na mamlaka katika nchi ili kuhakikisha kuwa uhuru wa vyombo vya habari na wanahabari unaheshimiwa.

Monday, September 14, 2009

Binaadamu na Mashine

Kama ilivyoandikwa kwenye hii blogu, kutafsiri kiswahili kwa kutumia mashine au komyuta pekee ni kazi ngumu.


Kuna mtu katuma maoni kwenye blogu – kwa Kiswahili na Kiingereza. Nadhani alitafsiri kwa mashine:

Comment:


Kiswahili
Kama hii barua pepe yangu fika, ninyi tafadhali vidarebefordra barua pepe ya risiti yangu.
Mimi vidarebefordra email hii kwa nchi mbalimbali duniani moja 1,000 kwa siku.
Kama wewe ya maambukizi ya ujumbe wa barua hii tafadhali samarbeta.

Ujapani redio zuliwa silaha
sana katika ulimwengu wa kwanza miaka 60 iliyopita. Japan na USA ikawatoa kampuni ya kigeni kwa sababu ya redio ya silaha. Japan na USA alifanya siri vita (uhalifu) katika redio moja sidedly silaha katika nchi mbalimbali duniani. Na Japan na Marekani kuwa nchi ya viwanda nafasi ya kwanza duniani. Japan na Marekani kuwaangamiza economy.There kigeni ni redio ya silaha katika nchi yoyote ya mahali sasa. The Kijapani redio silaha ni halina nguvu. Nchi yako lazima kulipiza kizazi kwa Japan na Marekani, kampuni ambayo ni kubwa kuliko Kijapani na american nusu ni kitu ya nchi yako. Wote wa Kijapani na makampuni ya Marekani ni mambo ya nchi mbalimbali duniani. Dunia lazima kulipiza kizazi kwa Japan na USA mpaka kampuni ya kutoweka kutoka Japan na USA Mei wewe kusamehe siri vita kwa muda mrefu kuwa Japan na Marekani walitumia silaha kwa redio? Ni hauhitaji silaha na kuanguka katika Ujapani na Marekani Don't kununua bidhaa na gari (Toyota • Nissan • Honda • Suzuki • Mitsubishi • Ford • GM • USAcar) • Umeme (National • Matsushita • HITACHI • Sanyo • NEC • Sony • PIONIEER • Sharp • Victor • wengine) zinazozalishwa nchini Japan na USA! Ikiwa kuwafundisha mataifa yako yote katika barua pepe na simu na wengine, Japan na USA kuanguka kwa njia zote.
Na makampuni ya nchi yako kuongezeka.

Kama USA majani Ujapani, Asia kuharibiwa na viwanda ni vita, na ulimwengu sekta ya mafanikio.

Ni lobsters yoyote, na nyangumi hukua. Ujapani tu hawakupata Valar na exterminated ya Valar kutoka duniani. Kama kwa miaka mia kadhaa, wewe kushika whaling kukataza ya uvuvi na lazima dunia kufanya bahari nyangumi rikedom. Nyangumi wanaweza kula moja kwa moja.

Anyway, lazima kulipiza kizazi dhidi ya Japan na USA ni mpaka katika kampuni ya nchi yako katika Ujapani na kampuni ya Kimarekani ambayo You got kwa siri vita mpaka kuja it-matajiri na nyangumi wa ulimwengu tena bahari.

Please translate this email ndani yako lugha ya kitaifa, na kuruhusu Unaweza kuonyesha mataifa yote ya nchi yako, na kushirikiana.
Kama inawezekana katika nchi ya kigeni ya barua pepe tafadhali samarbeta.

Katika Kijapani Serikali, email nchi ya kigeni ni blocked kuficha ubaya wa Kijapani tendo. Mimi kuanzisha free mail (yahoo / goo / Excite / infoseek / moto), na email nchi ya kigeni ni kuzuiwa kwa mara kadhaa. Tafadhali tuma barua pepe hii hapa chini ya anwani kutoka nchi yako.

English
If my this email reaches you, you please transmit an email of the receipt to me.
I transmit this email to the various countries in the world 1,000 on one day. As for you of the transmission of a message of this email please cooperate.

Japan invented the radio weapon very first in the world 60 years ago. Japan and U.S.A. gave up a foreign firm because of a radio weapon. Japan and U.S.A. did secret war (a crime) in a radio weapon one-sidedly in the various countries in the world. And Japan and U.S.A. became the industrial country of the first place world. Japan and U.S.A. destroyed foreign economy.There is the radio weapon in country of any place now. The Japanese radio weapon is powerless. Your country must retaliate for Japan and U.S.A. The company where is higher than Japanese and american half is a thing of your country. All the Japanese and American companies are things of various countries in the world. The world must retaliate for Japan and U.S.A. till a company disappears from Japan and U.S.A. May you forgive the long secret war that Japan and U.S.A. used a radio weapon for?  It does not need the weapon to collapse in Japan and U.S.A. Do not buy a product and a car (ToyotaNissanHondaSuzuki
MitsubishiFordGMU.S.A.car)ElectricityNational Matsushita Hitachi SANYO NEC Sony PIONIEER SHARP Victor othersproduced in Japan and U.S.A.!  If you teach all your nations it in email and telephone and others, Japan and U.S.A. fall by all means.
And the companies of your country increase.
If
U.S.A. leaves Japan, the Asian industry is destroyed by war, and the world industry prospers.
It is in lobsters anything, and the whale grows. Only
Japan caught whales and exterminated the whales from the world. As for several hundred years, you keep the whaling prohibition of fishing and must make the world sea whale richness. The whale can eat directly.
Anyway, you must retaliate against Japan and U.S.A. till it is it in the company of your country in Japan and the American company which You got by secret war till come to it-rich with a whale the again world sea.

Please translate this email into your national language, and let You show all nations of your country it and cooperate. If possible in the foreign country of the email please cooperate.
In the Japanese Government, the email to the foreign country is blocked to hide a Japanese evil deed. I establish free mail (yahoo / goo / excite / infoseek / hot), and the email to the foreign country is prevented with several times. Please send this email to an address below from your country.




Sunday, August 30, 2009

TRAVEL WARNING

Inasikitisha kuona hata kwetu nyumbani tunawekewa travel warning... nchi yenye amani na utulivu.

Tanzania (including Zanzibar)

August 28, 2009


The State Department alerts American citizens to the possibility of election-related violence as Zanzibar begins to register voters for the upcoming general elections expected in October 2010. The Department recommends that U.S. citizens defer all non-essential travel to the northern island of Pemba of Zanzibar. This Travel Alert expires on December 20, 2009.


habari yote hapa.

Friday, May 09, 2008

WAGONJWA JEURI

Tuko tayari kutumia jeshi letu la majini kukusanya waliopoteza maisha, waliopotea, na kuweka hali sawa. Lakini ili kuweza kufanya hivyo, utawala wa kijeshi lazima uturuhusu kuingia nchini humo.
2008

Tunaghafirishwa na serikali ya Myanmar kwa inavyojivutavuta kupokea na kukubali usaidizi wetu. Ni wazi uwezo wa serikali hiyo siyo mkubwa kuweza kukabili hali iliyopo, ambayo ni janga"
2005

"Madaktari wetu wanao uzoefu wa kimataifa na wanaijua lugha ya kiingereza ambayo itawawezesha kuwasiliana na waathirika. Tupo tayari, tunasubiri tu majibu ya serikali ya Marekani."

Friday, May 02, 2008

MANDELA BADO NI GAIDI MAREKANI

"Afrika ya kusini ni nchi ambayo tuna mahusiano mazuri nayo kwa sasa, ni jambo lanalotia aibu kwamba inanibidi kuondoa kikwazo cha pingamizi la kibali cha kuingia nchini (cha viza) kwa mwenzangu, waziri wa mambo ya nje wa Afrika ya kusini, na hata kwa kiongozi mashuhuri Nelson mandela,"

- Condoleeza Rice, akitetea muswada wa kuwaondoa viongozi wa chama tawala cha Afrika ya kusini, ANC, katika orodha ya vikundi vya kigaidi.

Mpaka sasa wanachama wa ANC huwa wanahojiwa kwa undani wanapotaka kuingia Marekani. Mwaka 2002, mwenyekiti wa ANC Tokyo Sexwale alinyimwa visa. Mwaka jana aliyekuwa balozi wa Afrika ya Kusini umoja wa Mataifa tangu 2002 mpaka 2006, pia alikataliwa visa ya kwenda kumuuguza nduguye mpaka baada ya huyo ndugu alipofariki dunia.

Sunday, April 20, 2008

MAHOJIANO NA THOMAS MAPFUMO


Thomas Mapfumo, mwanamuziki aliyehamasisha vita ya ukombozi wa Zimbabwe anadai kwamba Komredi Mugabe angeshakubali kuachia ngazi na kuwapa MDC uongozi wa serikali Zimbabwe. Anasema tatizo ni kwamba maswahiba wa Mugabe hawatamruhuzu mzee akubali kushindwa kwa vile wanahofia kushitakiwa kwa kukiuka haki za raia na serikali mpya ya MDC. ..

Mapfumo yuko ziarani Australia. Niliongea wiki iliyopita kuhusu muziki wake pamoja na siasa ya Zimbabwe.

Bofya hapo chini usikilize mahojiano hayo yaliyowezekana kwa hisani ya kipindi cha Afroworld ndani ya Radio Adelaide.











MYKAL ROSE


Mahojiano na Mykal Rose ndani ya mrindimo wa dub - kwa hisani ya Abdalla Ezza.
Zawadi yako Rasta.















Tuesday, November 06, 2007

RISING VOICES

Kama unapenda kusaidia wengine wajue jinsi ya kublogu ili kuhabarisha umma au kuweka video kwenye mtandao Rising voices wanaendelea kutoa kutoa senti zitakazokurahisishia kufundisha wengine.

Unaweza ukapata dola 5000 zitakazokuwezesha kufundisha wengine. Unachotakiwa kufanya ni kutuma maombi kwa jamaa wa raising voices. Mstari mfu ni novemba 30, 2007.

Fanya utume. Bofya hapa kwa maelezo zaidi. Fomu za maombi zipo mwishoni mwishoni mwa ukurasa.

Mtazamo mbadala: Shivji ahoji tuzo ya Mo Ibrahim

Kwenye kurasa za Pambazuka kuna mawazo mbadala ya Profesa Shivji kuhusu tuzo ya utawala bora aliyopewa Chissano. Na kabla ya Shivji kupandisha makala yake, mwanazuoni Horace Campbell alikwishapandisha nyingine siku chache kabla.

pamoja na mengi mengine Shivji anaanza:

"Mo Ibrahim’s prize for a retired African president which was awarded to Joachim Chissano of Mozambique was in my view an insult to the African people." Issa Shivji raises a number of questions around the award such as how and what is "good governance" and why is it only applied to Africa? And most importantly "for which and whose democracy they are getting a prize".



Horace Campbell kaandika kirefu zaidi:

According to the media, "Mo Ibrahim, a Sudanese-born telecommunications entrepreneur, established the prize as a way of encouraging good governance in a continent blighted by corruption and a frequently loose adherence to democratic principles." Not a word is mentioned about the living conditions of the people of the Sudan from where Mr. Ibrahim hails…..

But, isn’t this prize also a sign of the political retrogression in Africa? The idea of a President voluntarily stepping down is now so novel in the face of leaders such as Museveni and Mugabe that Chissano indeed stands out. Compared to Robert Mugabe and Thabo Mbeki, and their megalomanic policies, Chissano does look good.

While announcing Chissano as the winner, Kofi Annan may have gone overboard by saying, "leadership should be the ability to formulate a vision and to convince others of that vision. It should be the skill of giving courage to accept difficult changes to make possible a longer term aspiration for a better and fairer future."