Wednesday, May 26, 2010

zittokabwe.wordpress.com

Ndugu msomaji, nimekuwa na blogu hapo kabla lakini sikuweza kuifanyi kazi kama invyostahili. Nimeamua kuanzisha blogu hii mpya ili liwe jukwaa la kujadiliana jinsi ya kuimarisha demokrasia nchini kwetu Tanzania, Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla. Karibu kwa maoni, ushauri na hata makatazo!


- Posti ya ukaribisho katika blogu ya Mh. Zitto Kabwe


Zaidi bofya hapa.


Natafuta tafuta wabunge wengine wanaoblogu – bila bila mpaka sasa...

3 comments:

Anonymous said...

Ndugu Mwandani,

Waheshimiwa are too busy to blog!

njonjo mfaume said...

Mwandani, I am njonjo mfaume of University of Dar es Salaam, I am doing research on blogs. I have been trying to find your email address in vain. please contact me at "njonjo.kweja@gmail.com"

Anonymous said...

Mbunge mwingine mwenye blog ni Mohamed Dewji muangalie kwenye hiyo link:

http://www.mohammeddewji.com/blog/