Saturday, May 15, 2010

MKUTANO WA UANAHABARI WA KIRAIA WA GLOBAL VOICES 2010 – Santiago, Chile

Simba, Nambiza, Bwaya


Kundi dogo la wanablogu kutoka Madagaska, Afrika Kusini, Tanzania, Naijeria, Kenya na Ivory Coast wakijadili jambo.


Mkutano wa Uanahabari wa Kiraia wa Global Voices 2010 uliofanyika mjini Santiago, Chile ulipita vizuri. Nilibahatika kukutana na wanablogu wawili wa Tanzania, Christian Bwaya na Deogratias Simba ana kwa ana kwa mara ya kwanza.


Ilikuwa ni furaha tupu kwani tuliweza kuzungumza mengi kwa lugha yetu na kwa kuelewana vizuri bila ufafanuzi au maelezo mengi kama vile tunapoongea na watu kutoka nchi na tamaduni tofauti.


Katika siku zile mbili za mkutano watu wengi kutoka kila bara walieleza na kutushirikisha katika miradi yao ya uanablogu au uanahabari wa kiraia. Wengi wa watoa mada walitoka katika nchi zenye ahueni katika upatikanaji wa intaneti, yaani hawategemei migahawa ya intaneti au kompyuta za wanapofanyia kazi ili kublogu na kuendesha miradi hiyo na hivyo miradi yao ilionekana kuwa na mafanikio zaidi. Hata hivyo kutoka Afrika kuna nchi kama Liberia na Madagaska ambazo zimeweza kufanikisha miradi hiyo ya uanahabaro ewa kiraia katika hali ngumu kama yetu au pengine hali mbaya zaidi. Maelezo ya miradi hiyo pamoja maelezo mengine ya mkutano yamewekwa hapa.


Pamoja na mambo mengine mimi binafsi nilijifunza mengi katika mkutano ule. Pengine neno ‘nilijifunza’ halitoi maana sahihi, ninaweza kusema kuwa nilithibitisha hisia zangu za muda mrefu. Kwamba ili jambo lolote au juhudi yoyote iweze kufanikiwa panatakiwa kwanza pawe na visheni, nia, ikesha mipango inayoeleweka kadhalika panatakiwa pawe na ufuatiliaji mzuri na usiokoma-koma. Mambo ya bahati bahati yanawezekana kutokea lakini sio mara nyingi bahati inaweza kuzaa mafanikio ya kudumu ambayo yanaweza kubadilisha jamii au kumpa mtu au jamii nafasi inayoheshimika.


Simba, Bwaya na washikaji wa Kibangladeshi wakiwa Sao Paulo, Brazil


Simba akisikiliza au kushangaa jambo wakati wa mkutano


Picha nyingine za mkutano kama hii ya maneno au Awab zinapatikana hapa na hapa.

8 comments:

Egidio Ndabagoye said...

Poa sana.

Anonymous said...

Bro,

Big up, that is the way to go. Hongera sana na endelea zaidi za zaidi. Bwana Awe Nawe. Amen.

Mdau, Helsinki, Suomi.

Anonymous said...

Du, Nambiza, nimekukubali. Picha kali mno mwanangu. Nimeukubali ule mtambo wako ... ni wa kisasa. Sasa ... tulianzishe ... tuliduwarishe ... Tuna wajibu.

Anonymous said...

Just as the gods used WWII to justify an influx of new technologies, including the voice in your head, so will they use the impending pestilence which kills over half the world's population to justify historical medical advances, including the "cure of aging", initiating the "1000 years with Jesus on Earth", despite biotechnology already accomplishing these goals.
We've seen this tactic used recently with AIDS, targetted at homosexuals and blacks in Africa with the biotechnology product. The gods control everything on Earth, and althugh sold AIDS to your enemies as revenge, their real purpose was to enlighten you regarding sex:::Back-handed help. It was very effective with homosexuals in the USA, but sex is among the most powerful temptations with Africans. Remeber it is always the gods:::Slavery, AIDS, drive-bys, crack babies, pimps prostituting 10 year-old girls. And, contrary to your belief the victim doesn't go anywhere, they are reincarnated back to Earth like everyone else when we die.
Then, as promised, The End will come with fire::::Global tectonic subduction.

There was a very real perception that bi-racial was much worse for the white than it was for the person of color. The liberal culture, which was designed and promoted with the god's tools to achieve their Apocalyptic goals, screamed racism when there was a very reasonable explanation for this reality::::
In this white punishment known as the United States the person of color has already adopted the disfavors/temptations intended for another race. But by associating/mating with a person of color the white is newly adopting the disfavors of another culture.
And this is the reason why people of color are not welcome in the United States. The gods control everything:::The perception they want to create, the thoughts they want you to have.
People of color can't recover from absorbing the temptations from two cultures. And why they become more and more like so many blacks in America:::Veterans at absorbing the temptations of two cultures.
To further illustrate this is why California's educational system/funding was ranked #1 when California was white:::Education being the basis of the affluent economic system. Now even public higher education has become unaffordable.

Don't forget the lessons the 'ole white preacher taught:::Dancing is a sin, spare the rod spoil the child.
The gods used the liberal tool to ridicule away so many taboos, paving the way for the decay of society and ultimately the End Times::::::
Black behavior was controlled by the KKK. Men's behavior was controlled by marriage for thousands of years.
When married by 15 men never gained the taste of promiscuity. Once the gods used the budding liberalism tool the men set the tone for the deteriorating enviornment centered around their gross disfavor.
Women's relinquishing control of pre-arranged marriage will be what costs mankind everything in The End. It's all their fault. Men are pigs, essentially just primally responsive disfavored beings who if given the freedom will abuse based on the impulses the god's push them into. Whereas under pre-arranged marriage this behavior was contained now the promiscuous fraternity house epitomizes the pinnicle of what a "real man" should be like. And sadly the women fall into line.

The gods behave monsterously in the course of managing Planet Earth but they demand people be good if you are to have a chance to ascend in a future life.
Not only is doing the right things important (praying, attoning for your sins, thinking the right way:::accepting humility, modesty, vulnerability), so is avoiding the wrong things important as well:::"Go and sin no more".
You NEED active parents who share wisdom to have a real chance to ascend into heaven in a future life, and you MUST be a good parent as well to have that opportunity. Once your children have been raised something changes, something has been decided about you. This is exactly that.

vimax canada said...

Thanx for Informations Very good
bio hair obat penumbuh rambut
selaput dara
vimax canada original

lolyta said...

Vmenplus Herbal
Jual Vmenplus
Jual Vmenplus Asli
Agen Vmenplus
Distributor Vmenplus
Toko Vmenplus
Vmenplus Original
Vmenplus Ori
Harga Vmenplus
Khasiat Vmenplus
Ciri Ciri Vmenplus Asli
Suplemen Vmenplus
VMENPLUS HERBAL ALAMI
Obat Vmenplus
Agen Vmenplus Resmi
Vmenplus Herbal Asli
Hasil Vmenplus
Ciri - Ciri Vmenplus Original
Chek Kode Vmenplus
Cek Kode Verifikasi Vmenplus

lolyta said...

Vmenplus Herbal
Jual Vmenplus
Jual Vmenplus Asli
Agen Vmenplus
Distributor Vmenplus
Toko Vmenplus
Vmenplus Original
Vmenplus Ori
Harga Vmenplus
Khasiat Vmenplus
Ciri Ciri Vmenplus Asli
Suplemen Vmenplus
VMENPLUS HERBAL ALAMI
Obat Vmenplus
Agen Vmenplus Resmi
Vmenplus Herbal Asli
Hasil Vmenplus
Ciri - Ciri Vmenplus Original
Chek Kode Vmenplus
Cek Kode Verifikasi Vmenplus

suunitha said...





Sextoy India Whether Are You thinking about your first foray into anal pleasure or are a seasoned hardcore fan, there is an anal sex toy for you &Me! Butt plugs and anal toys are no longer just for gay men, or a taboo subject and most couples now experiment at some point with anal play.